Maumivu makali ukeni

Maumivu makali ukeni

Habari zenu jamani. Mwenzeni ninatatizo yaani toka nijue mapenzi sijawahi kufurahia tendo hilo. Kila nikifanya mapenz napata maumivu makali mno muda mwingine nahisi maumivu hadi kwenye kizazi. Nikimaliza tu maumivu siyapati mpaka nikifanya tena. Nifanyeje jamani, msinitukane Tafadhali. Karibuni kwa ushauri
pole sana THT ngoja waje wadada Mbadilishane mawazo na nini cha kufanya
 
  • Thanks
Reactions: THT
Habari zenu jamani. Mwenzeni ninatatizo yaani toka nijue mapenzi sijawahi kufurahia tendo hilo. Kila nikifanya mapenz napata maumivu makali mno muda mwingine nahisi maumivu hadi kwenye kizazi. Nikimaliza tu maumivu siyapati mpaka nikifanya tena. Nifanyeje jamani, msinitukane Tafadhali. Karibuni kwa ushauri
nenda JF Doctor kuna wataalum wengi, hata hivyo mgoja nikusaidie, wewe uliwahi kupatwa na UTI sugu ukachelewa kuitibu, hivyo unatakiwa unywe daya ya kienyeji inaitwa KARANDALUGO KUTOKA BUKOBA inatibu magonjwa ya kike hasa UTI sugu alafu inaongeza vichocheo vya mapenzi kukufanya uwe mlaini sehemu zako za siri tayari kwa kufanya tendo. ONYO, ukiwa una boyfriend karibu usinywe unaweza ukavamia hata mtu mzima.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Habari zenu jamani. Mwenzeni ninatatizo yaani toka nijue mapenzi sijawahi kufurahia tendo hilo. Kila nikifanya mapenz napata maumivu makali mno muda mwingine nahisi maumivu hadi kwenye kizazi. Nikimaliza tu maumivu siyapati mpaka nikifanya tena. Nifanyeje jamani, msinitukane Tafadhali. Karibuni kwa ushauri

Uchunguze vizuri huo " uume " yawezekana una " miiba " ambayo huchepua haraka inapokuwa " imezama " kunako. Pole sana Dada!
 
Habari zenu jamani. Mwenzeni ninatatizo yaani toka nijue mapenzi sijawahi kufurahia tendo hilo. Kila nikifanya mapenz napata maumivu makali mno muda mwingine nahisi maumivu hadi kwenye kizazi. Nikimaliza tu maumivu siyapati mpaka nikifanya tena. Nifanyeje jamani, msinitukane Tafadhali. Karibuni kwa ushauri

Uchunguze vizuri huo " uume " yawezekana una " miiba " ambayo huchepua haraka inapokuwa " imezama " kunako. Pole sana Dada!
 
Uchunguze vizuri huo " uume " wa Mpenzio kwani yawezekana una " miiba " ambayo huchepua haraka inapokuwa " imezama " kunako. Pole sana Dada!
Sio kweli kaka angu
 
Maumivu yawezekana unamagonjwa yanayoshambulia uzazi kitaalam pelvic inflammatory disease sasa cha kufanya nenda hospital wakakuchunguze kwanza I'll uanze dawa mapema ......maumivu wakati wa tendo ni kiashiria cha uambukizo katika sehemu zako za siri na inaambukiza kwa njia ya kufanya ngono isio salama na mtu mwenye maambukizi....
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kuniandaa ananiandaa sana lakini tatzo lipo pale pale
Je na wewe huwa umejiandaa kisaikolojia na akikuaandaa ule ute hukutoka?? Mana ka hautoki inakuwa hormones hazijasisimkwa vzuri au either mwanaume ana umbile kumbe kiasi huenda kusuka kizazi ndo mana unaumia?
 
  • Thanks
Reactions: THT
Pole sana...nadhani UTI inahusika hapa,
Mana kama hadi unapaka mate bado tatizo lipo palepale.

Otherwise mwambie jamaa awe mbunifu.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Hio UTI sema nini, tafta dawa za asili ndio zitakuwa freshi zaidi maana ishakuwa kimeo hospitali watakupa doxycycline ambayo ndio wanadai dozi kali ila inaweza ikadunda!
Watakubadilishia madawa sana bila mafanikio, UTI ni kimeo sana ikikukaa mwilini mda mrefu hivyo tafuta dawa asilia itayokuponesha kiuhakika bila kuwa na side effects!
 
  • Thanks
Reactions: THT
Maumivu yawezekana unamagonjwa yanayoshambulia uzazi kitaalam pelvic inflammatory disease sasa cha kufanya nenda hospital wakakuchunguze kwanza I'll uanze dawa mapema ......maumivu wakati wa tendo ni kiashiria cha uambukizo katika sehemu zako za siri na inaambukiza kwa njia ya kufanya ngono isio salama na mtu mwenye maambukizi....
Niliwahi kwenda nikatibiwa hiyo PID mwaka juzi ckukutana kimwili mpaka nilipopona lakini haikusaidia
 
Basi kafanye kipimo cha abdominal ultrasound wacheki kuna nn, pia screen for cervical cancer pia
 
  • Thanks
Reactions: THT
Habari zenu jamani,

Mwenzeni ninatatizo yaani toka nijue mapenzi sijawahi kufurahia tendo hilo. Kila nikifanya mapenzi napata maumivu makali mno muda mwingine nahisi maumivu hadi kwenye kizazi. Nikimaliza tu maumivu siyapati mpaka nikifanya tena. Nifanyeje jamani, msinitukane tafadhali.

Karibuni kwa ushauri
tatizo ni muhogo wa jang`ombe,tafuta vibamia...dushe tu unaumwa je kuzaa utaweza kweli?pole anyway!
 
pole sana it must be VAGINISMUS
hii inacauses nyingi,, ntarud baadae
 
  • Thanks
Reactions: THT
Back
Top Bottom