CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Kikawaida halotel lets say umeweka gb 1 ya week uka top up tena in 3 days inajazia kifurushi cha kwanza kama kilikuwa hakijaisha na siku ya ku expire inasogea mbele, jamaa wamekitoa.
Hivi hizi vurugu zote ni kodi au kukomoa watu watoke online?
Hivi hizi vurugu zote ni kodi au kukomoa watu watoke online?