Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Kosa kubwa la Mbowe ni hili! ๐๐๐
Acha tu asulubiwe! ๐ฎ
Acha tu asulubiwe! ๐ฎ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani mada ifungwe
Niongee ukweli kutoka Moyoni naadmire sana Siasa za Mbowe na namheshimu kama Jabali la Siasa za Tanzania, Huyu mzee kafanya kazi kubwa sana anastahili heshima yake pamoja na mapungufu yote ya kibinadamu.
Nafuatilia Uchaguzi wa CHADEMA naona kama CHADEMA aliyoijenga kwa jasho na damu leo inageuka Meza ya kumvunjia heshima,kumdhalilisha,kumtweza na kumtesa sana huyu kiumbe wa Dhahabu na sijui anapata maumivu kiasi gani.
Nafahamu ni Uchaguzi ila kiukweli watu wa Mitandaoni na tunamkosea sana heshima huyu mtu mpaka naumia mimi hasa nikisikiliza Interviews zake anavyojaribu kufafanua tuhuma anazopewa na ukweli wa mambo ulivyo.
Nimpongeze Heche kwa kutumia hekima kubwa sana katika Kampeni zake kwa kuhakikisha anailinda pia thamani na Brand ya Mbowe isipotee katika ramani ya nchi hii,binafsi namuona kama Heche ni Kiongozi na sitashangaa akishinda Umakamu Mwenyekiti.
Mbowe keshatangaza hiki ni kipindi chake cha Mwisho na nimemsikiliza AZAM leo anasema atapendekeza amalizie kipindi chake kwa Miaka 3 ili apishanishe Uchaguzi wa Chama na Serikali kwa Maslahi ya Chama, nawaomba wanaCHADEMA kwa Utumishi aliowapa Mbowe unganeni wote wenye akili kuitetea Dhahabu yenu isidhalilishwe dakika za Mwisho.Hakuna kosa alilofanya kugombea Katiba ya Chama chake inamruhusu kabisa.
Longlive bro we Love you na tunashukuru kwa Utumishi wako katika kujenga Upinzani wa Tanzania.
Kabisa, Mbowe mtamkumbuka huku mkilia machozi.Niongee ukweli kutoka Moyoni naadmire sana Siasa za Mbowe na namheshimu kama Jabali la Siasa za Tanzania, Huyu mzee kafanya kazi kubwa sana anastahili heshima yake pamoja na mapungufu yote ya kibinadamu.
Nafuatilia Uchaguzi wa CHADEMA naona kama CHADEMA aliyoijenga kwa jasho na damu leo inageuka Meza ya kumvunjia heshima,kumdhalilisha,kumtweza na kumtesa sana huyu kiumbe wa Dhahabu na sijui anapata maumivu kiasi gani.
Nafahamu ni Uchaguzi ila kiukweli watu wa Mitandaoni na tunamkosea sana heshima huyu mtu mpaka naumia mimi hasa nikisikiliza Interviews zake anavyojaribu kufafanua tuhuma anazopewa na ukweli wa mambo ulivyo.
Nimpongeze Heche kwa kutumia hekima kubwa sana katika Kampeni zake kwa kuhakikisha anailinda pia thamani na Brand ya Mbowe isipotee katika ramani ya nchi hii,binafsi namuona kama Heche ni Kiongozi na sitashangaa akishinda Umakamu Mwenyekiti.
Mbowe keshatangaza hiki ni kipindi chake cha Mwisho na nimemsikiliza AZAM leo anasema atapendekeza amalizie kipindi chake kwa Miaka 3 ili apishanishe Uchaguzi wa Chama na Serikali kwa Maslahi ya Chama, nawaomba wanaCHADEMA kwa Utumishi aliowapa Mbowe unganeni wote wenye akili kuitetea Dhahabu yenu isidhalilishwe dakika za Mwisho.Hakuna kosa alilofanya kugombea Katiba ya Chama chake inamruhusu kabisa.
Longlive bro we Love you na tunashukuru kwa Utumishi wako katika kujenga Upinzani wa Tanzania.
MkuuMbowe keshatangaza hiki ni kipindi chake cha Mwisho na nimemsikiliza AZAM leo anasema atapendekeza amalizie kipindi chake kwa Miaka 3 ili apishanishe Uchaguzi wa Chama na Serikali kwa Maslahi ya Chama, nawaomba wanaCHADEMA kwa Utumishi aliowapa Mbowe unganeni wote wenye akili kuitetea Dhahabu yenu isidhalilishwe dakika za Mwisho.Hakuna kosa alilofanya kugombea Katiba ya Chama chake inamruhusu kabisa.
Achana na propaganda za machawa wa ccm.Nafuatilia Uchaguzi wa CHADEMA naona kama CHADEMA aliyoijenga kwa jasho na damu leo inageuka Meza ya kumvunjia heshima,kumdhalilisha,kumtweza na kumtesa sana huyu kiumbe wa Dhahabu na sijui anapata maumivu kiasi gani.
Chama ni mali ya wanachama na wengine. Mbowe hana maamuzi ya mwisho kwenye chama ndiyo maana kuna uchaguzi. Anaweza kuchaguliwa au kukataliwa. Basi.Niongee ukweli kutoka Moyoni naadmire sana Siasa za Mbowe na namheshimu kama Jabali la Siasa za Tanzania, Huyu mzee kafanya kazi kubwa sana anastahili heshima yake pamoja na mapungufu yote ya kibinadamu.
Nafuatilia Uchaguzi wa CHADEMA naona kama CHADEMA aliyoijenga kwa jasho na damu leo inageuka Meza ya kumvunjia heshima,kumdhalilisha,kumtweza na kumtesa sana huyu kiumbe wa Dhahabu na sijui anapata maumivu kiasi gani.
Nafahamu ni Uchaguzi ila kiukweli watu wa Mitandaoni na tunamkosea sana heshima huyu mtu mpaka naumia mimi hasa nikisikiliza Interviews zake anavyojaribu kufafanua tuhuma anazopewa na ukweli wa mambo ulivyo.
Nimpongeze Heche kwa kutumia hekima kubwa sana katika Kampeni zake kwa kuhakikisha anailinda pia thamani na Brand ya Mbowe isipotee katika ramani ya nchi hii,binafsi namuona kama Heche ni Kiongozi na sitashangaa akishinda Umakamu Mwenyekiti.
Mbowe keshatangaza hiki ni kipindi chake cha Mwisho na nimemsikiliza AZAM leo anasema atapendekeza amalizie kipindi chake kwa Miaka 3 ili apishanishe Uchaguzi wa Chama na Serikali kwa Maslahi ya Chama, nawaomba wanaCHADEMA kwa Utumishi aliowapa Mbowe unganeni wote wenye akili kuitetea Dhahabu yenu isidhalilishwe dakika za Mwisho.Hakuna kosa alilofanya kugombea Katiba ya Chama chake inamruhusu kabisa.
Longlive bro we Love you na tunashukuru kwa Utumishi wako katika kujenga Upinzani wa Tanzania.
Mbowe ni kiongoziNiongee ukweli kutoka Moyoni naadmire sana Siasa za Mbowe na namheshimu kama Jabali la Siasa za Tanzania, Huyu mzee kafanya kazi kubwa sana anastahili heshima yake pamoja na mapungufu yote ya kibinadamu.
Nafuatilia Uchaguzi wa CHADEMA naona kama CHADEMA aliyoijenga kwa jasho na damu leo inageuka Meza ya kumvunjia heshima,kumdhalilisha,kumtweza na kumtesa sana huyu kiumbe wa Dhahabu na sijui anapata maumivu kiasi gani.
Nafahamu ni Uchaguzi ila kiukweli watu wa Mitandaoni na tunamkosea sana heshima huyu mtu mpaka naumia mimi hasa nikisikiliza Interviews zake anavyojaribu kufafanua tuhuma anazopewa na ukweli wa mambo ulivyo.
Nimpongeze Heche kwa kutumia hekima kubwa sana katika Kampeni zake kwa kuhakikisha anailinda pia thamani na Brand ya Mbowe isipotee katika ramani ya nchi hii,binafsi namuona kama Heche ni Kiongozi na sitashangaa akishinda Umakamu Mwenyekiti.
Mbowe keshatangaza hiki ni kipindi chake cha Mwisho na nimemsikiliza AZAM leo anasema atapendekeza amalizie kipindi chake kwa Miaka 3 ili apishanishe Uchaguzi wa Chama na Serikali kwa Maslahi ya Chama, nawaomba wanaCHADEMA kwa Utumishi aliowapa Mbowe unganeni wote wenye akili kuitetea Dhahabu yenu isidhalilishwe dakika za Mwisho.Hakuna kosa alilofanya kugombea Katiba ya Chama chake inamruhusu kabisa.
Longlive bro we Love you na tunashukuru kwa Utumishi wako katika kujenga Upinzani wa Tanzania.
Mbowe Yuko vizuri sana tofauti na yule wa mihemukoNiongee ukweli kutoka Moyoni naadmire sana Siasa za Mbowe na namheshimu kama Jabali la Siasa za Tanzania, Huyu mzee kafanya kazi kubwa sana anastahili heshima yake pamoja na mapungufu yote ya kibinadamu.
Nafuatilia Uchaguzi wa CHADEMA naona kama CHADEMA aliyoijenga kwa jasho na damu leo inageuka Meza ya kumvunjia heshima,kumdhalilisha,kumtweza na kumtesa sana huyu kiumbe wa Dhahabu na sijui anapata maumivu kiasi gani.
Nafahamu ni Uchaguzi ila kiukweli watu wa Mitandaoni na tunamkosea sana heshima huyu mtu mpaka naumia mimi hasa nikisikiliza Interviews zake anavyojaribu kufafanua tuhuma anazopewa na ukweli wa mambo ulivyo.
Nimpongeze Heche kwa kutumia hekima kubwa sana katika Kampeni zake kwa kuhakikisha anailinda pia thamani na Brand ya Mbowe isipotee katika ramani ya nchi hii,binafsi namuona kama Heche ni Kiongozi na sitashangaa akishinda Umakamu Mwenyekiti.
Mbowe keshatangaza hiki ni kipindi chake cha Mwisho na nimemsikiliza AZAM leo anasema atapendekeza amalizie kipindi chake kwa Miaka 3 ili apishanishe Uchaguzi wa Chama na Serikali kwa Maslahi ya Chama, nawaomba wanaCHADEMA kwa Utumishi aliowapa Mbowe unganeni wote wenye akili kuitetea Dhahabu yenu isidhalilishwe dakika za Mwisho.Hakuna kosa alilofanya kugombea Katiba ya Chama chake inamruhusu kabisa.
Longlive bro we Love you na tunashukuru kwa Utumishi wako katika kujenga Upinzani wa Tanzania.