sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Maumivu ni makali sanaa
Hakuna anaeweza kujificha kwa kusema ni kawaida ya mpira, mateso hayapaswi kuwa kawaida
Ukweli ni kwamba tunapitia maumivu makali mnoo, kila mwana Simba leo anaugua kivyake
Poleni sana ndugu zangu hakuna neno la kufuta machungu yenu
Mlichokitegemea sicho mlichopata inaumiza sana, kila nikitazama macho ya Wana Simba naona uchungu na maumivu yaliyopitiliza, kiukweli mnateseka ndugu zangu 😭
Tumeshapoteza, tutulie tuone tunaingiaje msimu mpya, Sio rahisi kusahau lakini tunapaswa kujisahaulisha maana ligi inaanza wiki ijayo ni muhimu zaidi kuanza vizuri
Panapovuja pameonekana tuwaachie wahusika wafanye maamuzi sahihi
Poleni🙏🙏🙏😭😭
Hakuna anaeweza kujificha kwa kusema ni kawaida ya mpira, mateso hayapaswi kuwa kawaida
Ukweli ni kwamba tunapitia maumivu makali mnoo, kila mwana Simba leo anaugua kivyake
Poleni sana ndugu zangu hakuna neno la kufuta machungu yenu
Mlichokitegemea sicho mlichopata inaumiza sana, kila nikitazama macho ya Wana Simba naona uchungu na maumivu yaliyopitiliza, kiukweli mnateseka ndugu zangu 😭
Tumeshapoteza, tutulie tuone tunaingiaje msimu mpya, Sio rahisi kusahau lakini tunapaswa kujisahaulisha maana ligi inaanza wiki ijayo ni muhimu zaidi kuanza vizuri
Panapovuja pameonekana tuwaachie wahusika wafanye maamuzi sahihi
Poleni🙏🙏🙏😭😭