return of cs
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 130
- 23
Heshima yenu nawapa, naimani mko salama nmejitokeza kwenu nikiwa na tatizo ambalo mwanzo nliona ni kawaida tu ila sasa limenizidia, nimekuwa nikiumwa sehemu nzima ya kisogo pale ninapoegemea ukuta, kiti cha mbao hata sponji, hata naposafiri siwezi kuegemea kabisa kwa kuhofia maumivu hayo, pia napolala siwezi lalia kisogo pia.
Na usiku wa kuamkia leo imetokea nimelalia kisogo na nilisikia maumivu sana usiku na kuona kizunguzungu sana huku moyo ukienda mbio na kichwa kikiuma sana.
Mpaka sasa najisikia hvyo kichwa kuuma pamoja na mishipa yote ya kichwa kunicheza hata kuegama kwenye sofa nashindwa kutokana na maumivu!
Jamani hili tatizo lina tiba? Na chanzo huwa nini? Na ni ugonjwa gani huu? Nasumbuliwa hivi mwaka sasa. Naombeni ushauri na maelekezo yenu madokta waJF.
Amani iwe pamoja nanyi.
Na usiku wa kuamkia leo imetokea nimelalia kisogo na nilisikia maumivu sana usiku na kuona kizunguzungu sana huku moyo ukienda mbio na kichwa kikiuma sana.
Mpaka sasa najisikia hvyo kichwa kuuma pamoja na mishipa yote ya kichwa kunicheza hata kuegama kwenye sofa nashindwa kutokana na maumivu!
Jamani hili tatizo lina tiba? Na chanzo huwa nini? Na ni ugonjwa gani huu? Nasumbuliwa hivi mwaka sasa. Naombeni ushauri na maelekezo yenu madokta waJF.
Amani iwe pamoja nanyi.