Nuhu Juliani
Member
- Mar 26, 2018
- 11
- 7
Wadau naombeni msaada wenu jamani....
Mimi nasumbuliwa na maumivu mbavuni na muda mwingine naskia kama mfano wa kupeuwa ndani kwa ndani upande wa kushoto na maumivu kwenye kitovu na kichomi tumboni mpaka mgongoni .. Nimepima damu nimeambiwa ipo( 11•5 gl ) na presha ipo ( 100/60 ) .. msaada wenu wadauu
Mimi nasumbuliwa na maumivu mbavuni na muda mwingine naskia kama mfano wa kupeuwa ndani kwa ndani upande wa kushoto na maumivu kwenye kitovu na kichomi tumboni mpaka mgongoni .. Nimepima damu nimeambiwa ipo( 11•5 gl ) na presha ipo ( 100/60 ) .. msaada wenu wadauu