Paul Buchira
R I P
- Aug 5, 2013
- 1,043
- 564
Habari ndugu nimekuwa na tatizo la kusumbuliwa upande wa kushoto yaani kama moyo unavuta vile mwezi sasa, tatizo nini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa natamani kukuche isee nikimbie hospitaliPole ndugu ngoja waje wataalam.
Hapa nataman kukuche isee nikimbie hospitali
Hapa nimekaa tu kitandani nashidwa kulalaUnauma ukiwa unavuta pumzi kubwa au unaumaje. Pole sana.
Kama upo ndani jaribu kutoka nje upate hewa ya nje kwa dakika kadhaa. Na ukilala jaribu kulalia ubavu wa kulia usilalie kushoto.
Pole sana ndugu yangu.
Unavuta tu ndugu nimejaribu kufanya mazoezi lakini wapiHapa nimekaa tu kitandani nashidwa kulala
Unavuta tu ndugu nimejaribu kufanya mazoezi lakn wap
Asante sanaUsifanye mazoezi unaweza kusababisha matatizo zaidi unahitaji utulivu zaidi kuliko kashkash mkuu.
Pole, hayo maumivu upande huo yana dalili zote za kuwa na uhusiano na matatizo ya moyo. Nenda hospitali haraka upime au uende kwenye vipimo vya tiba mbadala usaidiwe.Habari ndugu nimekuwa natatizo la kusumbuliwa upande wa kushoto yani kamamoyo unavuta vile mwezi sasa tatizo nini??
Asante ntafanya hivyopole, hayo maumivu upande huo yana dalili zote za kuwa na uhusiano na matatizo ya moyo. nenda hositali haraka upime au uende kwenye vipimo vya tiba mbadala usaidiwe
Asante ngoja nichemshe majiMoyo upo upande kushoto zaidi wa mwili wa binadamu sasa unapolala usiuweke mkono chini ya huo ubavu wa kushoto na kuulalia ukifanya hivyo unakandamiza mishipa ya damu hivyo unafanya damu itake kupita kilazima hivyo damu inatumia nguvu kubwa na pia unachelewa kufika sasa maumivu yake hapo utatamani kusimulia amka kunywa Maji ya moto alafu tulia kidogo kama dk kumi then ukirudi kulala usilale kama mwanzo lala mtindo mwingine.usiku mwema mkuu kila la kheri
Kaka dah! Sijui nikwambieje niko, mbali na huduma.Kwa nini usubiri kuche ndio uende hospitali?. Nakushauri jitahidi uende sasa hivi!.
Kaka dah! Sijui nikwambieje niko mbali na hduma
Kaka dah! Sijui nikwambieje niko mbali na hduma