Napata maumivu wakat wa kujisaidia haja kubwa maumivu kama ya mtu aliekula pili pili nyingi na muda mwingne nawashwa sana,takribani wiki ya pili sasa,najisaidia choo cha kawaida na sio kigumu.Tatizo ni nini na tiba ni nini?Ahsanteni
Kunywa maji kwa wingi kama 8 glasses per day..kama unakula miraa ama kunywa pombe punguza sababu ya dehydration...kula vyakula ziko na fibre kama brown bread brown rice avoid processed foods..gluten etc