the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Napata maumivu wakat wa kujisaidia haja kubwa maumivu kama ya mtu aliekula pili pili nyingi na muda mwingne nawashwa sana,takribani wiki ya pili sasa,najisaidia choo cha kawaida na sio kigumu.Tatizo ni nini na tiba ni nini?Ahsanteni