Maumivu wakati wa kujisaidia

IdekaIdeka

Member
Joined
Sep 3, 2016
Posts
22
Reaction score
6
Ndugu wana Jf naomba msaada kwenu
Napata shida wakati wa kujisaidia choo kikubwa, napata maumivu makali huku choo kikiwa kimechanganyika na Damu, je! Haya ni maradhi gani na nini Tiba yake?
 
Jitahidi kula matunda kama ndizi afu nenda kapime minyoo inaweZa kuwa ndo sababu ya damu
 
Mkuu hiyo huenda kawa bawasili au hata typhoid so kwa uhakika zaidi nenda hospital ukafanyiwe vipimo ili ujue unatafuta tiba ya ugonjwa gani kuliko kuhisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…