IdekaIdeka
Member
- Sep 3, 2016
- 22
- 6
Ndugu wana Jf naomba msaada kwenu
Napata shida wakati wa kujisaidia choo kikubwa, napata maumivu makali huku choo kikiwa kimechanganyika na Damu, je! Haya ni maradhi gani na nini Tiba yake?
Napata shida wakati wa kujisaidia choo kikubwa, napata maumivu makali huku choo kikiwa kimechanganyika na Damu, je! Haya ni maradhi gani na nini Tiba yake?