Maumivu wakati wa kukojoa

ERIC JOSEPH

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
567
Reaction score
55
naomba msada tangu sasa ni siku ya tatu kila nikienda kukojoa nahis maumivu sana kwenye kichwa cha uume.naomba msada je ni ugonjwa
 
naomba msada mana hali hii haijawah nitokea
 
Nenda hospitali ukachekiwe, inawezekana ni ugonjwa wa zinaa huo.
 
Urethritis na inawezekana ikawa ni maambukizi ya bakteria. Nenda hospitali wewe na partner wako mkatibiwe.
 
Umeshalikwaa gonorrhea mkuu, ni STD hiyo nenda kapate huduma, pole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…