Maumivu ya hisia za kuachwa husababisha wengi kuwa 'bahili wa mapenzi'

Maumivu ya hisia za kuachwa husababisha wengi kuwa 'bahili wa mapenzi'

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Sio kweli kwamba watu hawana mapenzi ya dhati. Si kweli kwamba mapenzi yalikuwa zamani. Si kweli kwamba watu hawajui kupenda. Si kweli kwamba wapenzi hupenda kuumizana. Tatizo kubwa kwa zama za leo ni hofu na mashaka ya kujitoa kwa moyo wote then unaambulia kuachwa.

Wapenzi wengi siku za leo wana matarajio makubwa ya kile wanachohitaji kufanyiwa na wenzi wao. Matokeo yake kila mmoja anaogopa kujitoa kwa mwenzake ili hata wakiachana asiumie sana kihisia.
 
IMG-20240911-WA0779.jpg
 
Haya mambo ni magumu mno. Kuna watu wamefariki na wengine wanazeeka na mahaba yao ndani ya mioyo yao. Inaumiza kumthamini asiyejua thamani yake
 
Sio kweli kwamba watu hawana mapenzi ya dhati. Si kweli kwamba mapenzi yalikuwa zamani. Si kweli kwamba watu hawajui kupenda. Si kweli kwamba wapenzi hupenda kuumizana. Tatizo kubwa kwa zama za leo ni hofu na mashaka ya kujitoa kwa moyo wote then unaambulia kuachwa.

Wapenzi wengi siku za leo wana matarajio makubwa ya kile wanachohitaji kufanyiwa na wenzi wao. Matokeo yake kila mmoja anaogopa kujitoa kwa mwenzake ili hata wakiachana asiumie sana kihisia.
sijui ulikuwa unawaza nini
 
Sio kweli kwamba watu hawana mapenzi ya dhati. Si kweli kwamba mapenzi yalikuwa zamani. Si kweli kwamba watu hawajui kupenda. Si kweli kwamba wapenzi hupenda kuumizana. Tatizo kubwa kwa zama za leo ni hofu na mashaka ya kujitoa kwa moyo wote then unaambulia kuachwa.

Wapenzi wengi siku za leo wana matarajio makubwa ya kile wanachohitaji kufanyiwa na wenzi wao. Matokeo yake kila mmoja anaogopa kujitoa kwa mwenzake ili hata wakiachana asiumie sana kihisia.
kwahiyo auntie maana yako ni ipi apo
 
Tofautisha mvuto (attraction), tamaa (infatuation) na upendo (love).

Hauhitaji kupendwa ili upende. Love is not a deal to be exchanged. Actually upendo hautafuti mambo yake mwenyewe. Upendo huvumilia yote na zaidi ya yote upendo hustahimili yote.

Ukiona unapenda ila unajiandaa kuachwa ujue hauna upendo na hamtafika po pote. Umejaa tamaa. Anayependa hujitoa kwa moyo wote, hata akiumizwa.

Learn or perish.
 
Tofautisha mvuto (attraction), tamaa (infatuation) na upendo (love).

Hauhitaji kupendwa ili upende. Love is not a deal to be exchanged. Actually upendo hautafuti mambo yake mwenyewe. Upendo huvumilia yote na zaidi ya yote upendo hustahimili yote.

Ukiona unapenda ila unajiandaa kuachwa ujue hauna upendo na hamtafika po pote. Umejaa tamaa. Anayependa hujitoa kwa moyo wote, hata akiumizwa.

Learn or perish.
Mmhhh!
Kazi ipo. Kwahiyo kila siku wewe ndiye unapiga simu, hupigiwi, unanunua zawadi,hununuliwi?
Sasa si bora nijipende tu mwenyewe!
 
Mmhhh!
Kazi ipo. Kwahiyo kila siku wewe ndiye unapiga simu, hupigiwi, unanunua zawadi,hununuliwi?
Sasa si bora nijipende tu mwenyewe!
Yeah! Ukiwa na upendo unapaswa kufanya yote hayo na zaidi bila kutegemea reciprocation.
 
Back
Top Bottom