Nahitaji msaada wa tiba,nasumbuliwa na kichomi mara kwa mara pindi hali ya hewa inapobadirika na kuwa na ubaridi ubaridi basi kichomi kinanisumbua sana hata kuinama siwezi kwa mda wa masaa 4.
Mwenye ushauri wa tiba naomba anisaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.