If it could be migraine- sawa ange umwa na kichwa bt hata kutapika,nausie,fever,diznes,drawsnes na ingekuwa mara kwa mara asubuh au kipind alipokuwa ana mimba bt huyu mtu anaumwa na kichwa wakati anajisaidia huoni kwamba inaweza kuwa constpitation au inaweza kuwa anaemia, nivizur ukafanye vipimo kama "full blood picture" na vinginevyo fika hospital!