Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 855
- 1,483
Habari mtaalam..Usiniogope na wala usiogope bei kwani uzima wako na pesa bora kitu gani? Uzima wako unaweza kuupata Hospitalini? Au kuna Mtu anaweza kukupatia uzima wako? Uzima ni kitu bora kuliko pesa, kwani pesa inatafutwa uzima wako utaweza kuupata wapi?
Jali afya yako kuliko.Nitafute kwa address niliyo kupa tupate kuzungumza zaidi na ikiwezekana niweze pia kukupa ushauri mzuri Mkuuu Usiniogope Ukiniogopa haya kaa na maradhi yako.
Mimi pia nna tatizo la kuumwa kichwa hususan nikitembelea sehemu zenye kelele nyingi au nikijihangaisha sana.
Kichwa changu mara nyingi huuma sehemu ya kipanda uso na katikati ya utosi ikiambatana na homa ya baridi na viungo kuishiwa na nguvu.
Hivi juzi kati nlitembelew daresalam nikaanza kuumwa hivyo mara ya kwanza nliumwa nikapona nikaenda tena DSM nikaumwa tena.
Hadi hapa nlipo naumwa hata sijui solution yake ni nini?
Pia nna tatizo la kuwa na kizunguzungu in such sometimes najihisi kama vile nataka kuanguka.
Na hata nikipita karibu na maspika yanayopiga mziki au nikiswali kuangalia chini au nikisimama mda mrefu kuongea na mtu huwa najihisi kama nataka kuanguka ijapokuwa sijawahi kuanguka umri wangu ni miaka 30
Naomba dr. Nisaidie japo kwa ushauri🙏