Maumivu ya kifua na mgongo(upande wa kulia)

Maumivu ya kifua na mgongo(upande wa kulia)

Poluyakhtov

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2017
Posts
358
Reaction score
300
Habari za muda huu wana JF.

Naombeni ushauri juu ya tatizo hili.Ni siku ya 7 sasa nimekuwa nikihisi maumivu upande wa kulia na kadri siku zinavyoendelea maumivu yanaonekana kusambaa mpaka upande wa kulia wa mgongo.Na wakati wa kunywa maji au kumeza chakula napata maumivu makali sana.

Tatizo hili lilianza baada ya kuamka,kwani nilipitiwa na usingizi nikiwa nimeegemea meza kutokana na harakati za kujisomea.

Mwanzoni nilikuwa nikijaribu kujinyoosha nasikia mbavu zikitoa mlio kama mti mkavu unapovunjwa lakini sasa hata nikifanya hivyo hakuna mlio wowote.

Naombeni mnishauri ni dawa gani naweza kuitumia ili kuondoa tatizo hili.
 
maelezo hayatoshi.
Ukupata nafasi nenda hospitali mkuu.
Pole sana
 
Habari za muda huu wana JF.

Naombeni ushauri juu ya tatizo hili.Ni siku ya 7 sasa nimekuwa nikihisi maumivu upande wa kulia na kadri siku zinavyoendelea maumivu yanaonekana kusambaa mpaka upande wa kulia wa mgongo.Na wakati wa kunywa maji au kumeza chakula napata maumivu makali sana.

Tatizo hili lilianza baada ya kuamka,kwani nilipitiwa na usingizi nikiwa nimeegemea meza kutokana na harakati za kujisomea.

Mwanzoni nilikuwa nikijaribu kujinyoosha nasikia mbavu zikitoa mlio kama mti mkavu unapovunjwa lakini sasa hata nikifanya hivyo hakuna mlio wowote.

Naombeni mnishauri ni dawa gani naweza kuitumia ili kuondoa tatizo hili.
Ungeenda hospitali ila tatizo wanakupima hadi ukimwi bila ridhaa yako.
 
Back
Top Bottom