kashimir Mussa
Member
- Apr 26, 2018
- 27
- 3
Habari wa J.f
nimepatwa na tatizo la kusikia maumivu upande wa kifua mkono wa kushoto, maumivu haya nilianza kuyasikia asubuhi nilifanya mazoezi ya push sana na skwashi..je tatizo hili linatokana na nini wazee na nini solution.
nimepatwa na tatizo la kusikia maumivu upande wa kifua mkono wa kushoto, maumivu haya nilianza kuyasikia asubuhi nilifanya mazoezi ya push sana na skwashi..je tatizo hili linatokana na nini wazee na nini solution.