Hello Doctors na wanajamii forum wote kwa jumla. Nna mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 6 kasoro anasumbuliwa na maumivu ya kitovu kwa muda wa mwaka mmoja sasa! Nimeshakwenda hosp mara kwa mara tatizo halionekani!
Kwa mara nyingine nmeenda tena kuoanana na specialist wa watoto..akafanyiwa vipimo vya damu, haha kubwa, ndogo pamoja na ultra sound lkn hajaonekana na shida yyte japo dr.aliniambia kuwa kuna ka uwazi kwenye kitovu chake kwa juu na sio kwa ndani! Hakuwa na uhakika kwamba uwazi huo ndio chanzo cha maumivu hayo!
Alituandikia antibiotics (metro) pamoja na omeprazo! Amemaliza dozi still bado analalamika tumbo linauma(eneo la kitovu).
Nahitaji kurudi tena hosp lkn naombeni mawazo na ushauri wenu pia ni muhimu! Je huenda ikawa ni tatizo gani hili?
Kwa mara nyingine nmeenda tena kuoanana na specialist wa watoto..akafanyiwa vipimo vya damu, haha kubwa, ndogo pamoja na ultra sound lkn hajaonekana na shida yyte japo dr.aliniambia kuwa kuna ka uwazi kwenye kitovu chake kwa juu na sio kwa ndani! Hakuwa na uhakika kwamba uwazi huo ndio chanzo cha maumivu hayo!
Alituandikia antibiotics (metro) pamoja na omeprazo! Amemaliza dozi still bado analalamika tumbo linauma(eneo la kitovu).
Nahitaji kurudi tena hosp lkn naombeni mawazo na ushauri wenu pia ni muhimu! Je huenda ikawa ni tatizo gani hili?