Maumivu ya Kitovu

AljuniorTz

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2009
Posts
544
Reaction score
18
Tafadhali naomba kujulishwa yepi ni matibabu sahihi ya kuondoa tatizo la maumivu ya kitovu kwa wanawake; hilo tatizo halijalishi anakaribia period au yupo kawaida.

Huwa tatizo linatokea tu (for 1-3 days) then baadae linapotea lenyewe baadae; ila maumivu yanakuwa makali hadi mtu analia km hana roho ngumu ya kuvumilia.
 
age yake?
ilianza lini?
ulifanyiwa upasuaji huko nyuma?
relation na chakula?
homa?
amepungua uzito?
matatizo mengine ya kiafya?
kajaribu dawa/vipimo?
kisha tutakuwa na picha kamili na ku-suggest matibabu
la sivyo muwahishe kcmc ya huko aliko.
 

Majibu ni hayo niliyoya-BOLD
 
Periods ku-overlap kama hivyo - normal
Maji moto, y? mwambie anywe ya kawaida tu (yeye anadhani ana tatizo katika tumbo la uzazi, hasa kunywa maji ya moto haiwezi kumsaidia kwani hiyo ina-affect tumbo la chakula!)
Asali haina topical analgesic effect, kwa hiyo anapata psychological relief.

Diagnosis: Psychogenic pain.
Treatment:
Kuwa karibu naye, atakuwa na stress fulani katika maisha, relationship, kazi au financial - ikiwa solved hiyo basi mambo yatakuwa mswanu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…