Maumivu Ya Kiuno

miss_blossom

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
1,607
Reaction score
2,150
Hello guys.
Naomba Ushauri au tiba ya maumivu ya kiuno.
Nimekuwa nikipata maumivu kiunoni for almost a month now Kila nikikaa chini kiuno kinauma sana.
Sijafanikiwa kupata mtoto sasa nashangaa maumivu haya yanatoka wapi.
Mwenye uelewa wa hili anisaidie kwa mawazo au tiba yake.
Thanks.
 
Unafanya kazi za ofisini zinazofanya ukae kwenye kiti kwa muda mrefu sana? Una kilo 85+?, Una pressure? Hizo zinaweza kuwa ni miongoni mwa sababu ila ni vizuri umuone daktari.
 
Unafanya kazi za ofisini zinazofanya ukae kwenye kiti kwa muda mrefu sana? Una kilo 85+?, Una pressure? Hizo zinaweza kuwa ni miongoni mwa sababu ila ni vizuri umuone daktari.
Yeah nafanya kazi ya kukaa ofisini muda wote lakin najitahidi sana kutembea kidogo ili kunyoosha mwili. Kama niko busy sana sipati muda wa kunyoosha mwili miguu nayo inavimba sana.
 
Kama kiti unachotumia hakina sponji inawezekana ndio source
 
Mambo yetu una fanya..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…