miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,150
Hello guys.
Naomba Ushauri au tiba ya maumivu ya kiuno.
Nimekuwa nikipata maumivu kiunoni for almost a month now Kila nikikaa chini kiuno kinauma sana.
Sijafanikiwa kupata mtoto sasa nashangaa maumivu haya yanatoka wapi.
Mwenye uelewa wa hili anisaidie kwa mawazo au tiba yake.
Thanks.
Naomba Ushauri au tiba ya maumivu ya kiuno.
Nimekuwa nikipata maumivu kiunoni for almost a month now Kila nikikaa chini kiuno kinauma sana.
Sijafanikiwa kupata mtoto sasa nashangaa maumivu haya yanatoka wapi.
Mwenye uelewa wa hili anisaidie kwa mawazo au tiba yake.
Thanks.