Maumivu ya kutendwa yanaweza mfanya mtu asipende tena?

Maumivu ya kutendwa yanaweza mfanya mtu asipende tena?

Jonas hemed

Member
Joined
Jul 23, 2018
Posts
21
Reaction score
6
FIRST BREAKUP IN RELATIONSHIP
MAKES FOREVER PAIN​


images (2).jpg
 
apa nakupata
Upendo ni kitu automatic mkuu ukisahau tu maumivu kamoyo kanapenda tena kwa speed ile ile ila this time unakua na tahadhari sio kama mwanzo.
hapa nakupata viizur Mkuu coz kuanzia sasa nitakuwa makini kweli.
 
Mimi nilipigwa kibuti tena kwa maneno ya dharau sana, siku hiyo hiyo rafiki yake na yule mwanamke akajipendakeza halafu ni bonge la pisi kinoma. Mpaka sasa nipo nae mwaka wa tatu huu na tunapendana sana, mwakani tunaowana.
 
Mimi nilipigwa kibuti tena kwa maneno ya dharau sana, siku hiyo hiyo rafiki yake na yule mwanamke akajipendakeza halafu ni bonge la pisi kinoma. Mpaka sasa nipo nae mwaka wa tatu huu na tunapendana sana, mwakani tunaowana.
hapa ulifanyaje fanyaje coz ni kama mchezo umeumaliza kilain vile daaaah.!
 
Back
Top Bottom