Maumivu ya mgongo sugu wa juu, mabegani na misuli shingo kukaza homa ya uti wa mgongo (Pneumonical Meningitis)

pole aiseee. kwahiyo kwa sasa unaendeleaje? pole sana
 
Vipi mkuu mbn kama hzo dalili na mm ninazo sema yangu imeongezeka na maumivu makali yasiyoisha hii hali ilinianza nikiwa shuleni advance 2022 mpka Leo vp ww bdo hali ni hyohyo??
 
Vipi mkuu mbn kama hzo dalili na mm ninazo sema yangu imeongezeka na maumivu makali yasiyoisha hii hali ilinianza nikiwa shuleni advance 2022 mpka Leo vp ww bdo hali ni hyohyo??
Kuna afadhali ndugu yangu naomba mawasiliano yako tupeane experience kidogo
 
Bado ndugu yangu bila shaka wewe ni sickmate mwezangu naonaga thread zako unavyosumbuliwa ,,,mungu atusaidie tu
Mkuu vip unaendeleaje na ugonjwa umepona...nami tangu majuzi naona mgongo unaniuma sana upande wakushoto nyuma na katikati nikiinama pia naumamiaa sjui ni kitu gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…