Maumivu ya mishipa

Joined
Apr 26, 2018
Posts
27
Reaction score
3
Wadau ivi maumivu ya mishipa sehemu za uume na mishipa inayoshabiana na Kende husababishwa na nini maana nilikuwa napiga sana nyeto sasaivi nimeacha napata hali hii sasa jee Tatizo hili litaacha Au litachukuwa muda gani kuaacha maana linaninyima raha.

Na nifanye nini niondokane na tatzo hili.
 
pole sana mkuu nenda hospitali utapata tiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…