kashimir Mussa
Member
- Apr 26, 2018
- 27
- 3
Wadau ivi maumivu ya mishipa sehemu za uume na mishipa inayoshabiana na Kende husababishwa na nini maana nilikuwa napiga sana nyeto sasaivi nimeacha napata hali hii sasa jee Tatizo hili litaacha Au litachukuwa muda gani kuaacha maana linaninyima raha.
Na nifanye nini niondokane na tatzo hili.
Na nifanye nini niondokane na tatzo hili.