Asante sanaPole mkuu,
Mkuu nakushauri uende Muhimbili au hospitali yoyote kubwa uonane na "SPECIALIST" kabisa umalize hilo tatizo maana wao ndo wanaweza kumaliza kitaalam zaid.Habari wanajf nina kwa miezi saba nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya kibofu,njia ya mkojo,pumbu na uume nimezunguka sana hata kwa maurologist lakini sipata nafuu wala dawa nilizopewa hazijawahi kuniondolea maumivu.DVU,MRI nimefanya na pia CT scan ya mgongo mwanzoni niliambiwa nina urethra stricture lakini wakati was procedure haijaonekana.
Nimekutana na maspecialist tofauti tofauti was mkojo na mifupaMkuu nakushauri uende Muhimbili au hospitali yoyote kubwa uonane na "SPECIALIST" kabisa umalize hilo tatizo maana wao ndo wanaweza kumaliza kitaalam zaid.
Ndio inavyotakiwa mkuu naamin suluhisho utapata hukoNimekutana na maspecialist tofauti tofauti was mkojo na mifupa
Habari wanajf nina kwa miezi saba nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya kibofu,njia ya mkojo,pumbu na uume nimezunguka sana hata kwa maurologist lakini sipata nafuu wala dawa nilizopewa hazijawahi kuniondolea maumivu.DVU,MRI nimefanya na pia CT scan ya mgongo mwanzoni niliambiwa nina urethra stricture lakini wakati was procedure haijaonekana.
Anapatikana wapi na je gharama zake0652 175774 wasiliana na mwenye namba hiyo. ni mtabibu wale wa dawa zakisunna. Alinipatia dawa ilinisaidia sana kwa matatizo yanayofanana kama nayakwako.
Anapatikana wapi na je gharama zake