Rashidi7
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 611
- 208
Habarini!
Nimepata tatizo tajwa hapo juu tangiwa nikiwa form five 2017 kwenye mwezi wa tatu. Nikaenda mnazi mmoja pale nikamwelezea Doctor,aliniandikia dawa na kunihasa nifanye mazoezi. Ila tatizo hilo ni kwamba bado linaendelea hadi leo hii. kwa wajuzi wa haya mambo jamani naomba msaada wa ushauri ikiwezekana na mawazo pia.
Asante.
Nimepata tatizo tajwa hapo juu tangiwa nikiwa form five 2017 kwenye mwezi wa tatu. Nikaenda mnazi mmoja pale nikamwelezea Doctor,aliniandikia dawa na kunihasa nifanye mazoezi. Ila tatizo hilo ni kwamba bado linaendelea hadi leo hii. kwa wajuzi wa haya mambo jamani naomba msaada wa ushauri ikiwezekana na mawazo pia.
Asante.