Maumivu ya tumbo usiku-msaada tafadhali

Vivina

Member
Joined
Nov 7, 2011
Posts
29
Reaction score
12
Hi wana JF,mimi ni mgeni hapa naombeni msaada wenu kwa wenye uelewa wa hili:dada yangu ana tatizo la kuumwa na tumbo usiku.hivi juzi tumechek tukagundua ana ujauzito,so ni wa mwez 1, mchana shwari lakini usiku ni balaa.je ni kawaida au inawezekana akawa na tatizo..natanguliza shukrani
 
Mwambie aende hospitali haraka kwani mimba huwa zina complication nyingi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…