Mtandaoni
Senior Member
- Jul 22, 2013
- 132
- 64
Tatizo liko hivi, siku moja nikiwa nimelala usiku, kama kawaida ya wanaume ifkapo asubuhi mida ya kuamka uume mara nyingi husimama. Sasa nilijikuta niko tofauti baada uume kusimama nakusikia maumivu makali kwenye uume wangu.
Nikajua ni kwa muda huo tu lakini sasa takribani wiki ya pili sasa bado nahis maumivu yaani kuna mshipa mmoja wa chini karibu na mapumbu ndio panauma zaidi.
Sasa rafiki zangu pamoja na wataalamu kama kuna anayefahamu hii inatokana na nini na labda kuna dawa ya kutumia tafadhali naombeni msaada wa hili.
Sipati ham ya tendo la ndoa kulingana na hii sababu ikisimama sitaweza kuchochea ipasavyo vinginevyo ni shida tu.
Nikajua ni kwa muda huo tu lakini sasa takribani wiki ya pili sasa bado nahis maumivu yaani kuna mshipa mmoja wa chini karibu na mapumbu ndio panauma zaidi.
Sasa rafiki zangu pamoja na wataalamu kama kuna anayefahamu hii inatokana na nini na labda kuna dawa ya kutumia tafadhali naombeni msaada wa hili.
Sipati ham ya tendo la ndoa kulingana na hii sababu ikisimama sitaweza kuchochea ipasavyo vinginevyo ni shida tu.