nini husababisha maumivu sehemu za uume? ameshatembea hospitali nyingi na kupewa dawa ambazo mpaka sasa hazijamsaidia chochote na maumivu bado yapo! any specialist unayemjua atakayeweza kutusaidia? au hata ushauri wa kitaalamu juu ya hili swala
Pole sana ila najua fika hamu uliyonayo.Je mara nyingi huwa kwanza kujua hedhi yako iko sawa sawa? Lakini pia kama unajaribu kufanya katika siku ambazo mimba yawezatungwa. Mie si dokta uweke na siku zako ili watalaam wanapokuja wakupe kitu kizuri cha kufanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.