Duwaa
Member
- Oct 27, 2017
- 32
- 6
Habari za muda huu Madoctor wote popote mlipo.
Naomba kuuliza Ninatatizo lakupata maumivi wakati wa mwisho wa kumaliza kukojoa tatizo hili nila muda mrefu kwani linanitokea nakupotea. Lakini kwa kipindi hichi tatizo limekua kubwa kiasi kwamba linapelekea kushinda hata kupata hamu ya kujamiana na mpenzi wangu.
Kwani inafikia hali yakuwa nahamu lakini sichukui hata raund moja nahata mbegu zikitoka naambulia maumivu makali mno. Hiyo ndio hali yangu ilivyo inapelekea hata kujiona muathirika kwani kila dawa ninayo ambiwa inatibu najaribu lakini hali niilele.
Nimekua napata hamu kama msimu kwa msimu lakini sasa hali yangu inanitisha zaidi. Naombeni msaada wenu ndugu wa pendwa.
Mimi ni Ikramu said salimu
Kwenu wapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza Ninatatizo lakupata maumivi wakati wa mwisho wa kumaliza kukojoa tatizo hili nila muda mrefu kwani linanitokea nakupotea. Lakini kwa kipindi hichi tatizo limekua kubwa kiasi kwamba linapelekea kushinda hata kupata hamu ya kujamiana na mpenzi wangu.
Kwani inafikia hali yakuwa nahamu lakini sichukui hata raund moja nahata mbegu zikitoka naambulia maumivu makali mno. Hiyo ndio hali yangu ilivyo inapelekea hata kujiona muathirika kwani kila dawa ninayo ambiwa inatibu najaribu lakini hali niilele.
Nimekua napata hamu kama msimu kwa msimu lakini sasa hali yangu inanitisha zaidi. Naombeni msaada wenu ndugu wa pendwa.
Mimi ni Ikramu said salimu
Kwenu wapendwa
Sent using Jamii Forums mobile app