Hyo ni juu yake na dini yake inaruhusu hata wake 100 ww unashangaa sita tuu?
nimepewa habari ambayo inashtua kuwa jamaa anawake sita ingawa wengine wapo nje ya nchi. kwa maisha ya kawaida hapa tz na magonjwa haya huogopi?.kwa sisi wapenzi wa soka bado tunahitaji mchango wako mkuu.punuza speed uishi miaka mingi
nimepewa habari ambayo inashtua kuwa jamaa anawake sita ingawa wengine wapo nje ya nchi. kwa maisha ya kawaida hapa tz na magonjwa haya huogopi?.kwa sisi wapenzi wa soka bado tunahitaji mchango wako mkuu.punuza speed uishi miaka mingi
6 haki ya nani anatisha.
6 haki ya nani anatisha.