tibiabo michael
New Member
- Feb 28, 2015
- 3
- 0
tumeshuhudia kama cio kusikia mauwaji ya watu wenye ulemavu wa ngoz alibino? Lakn sijasikia rais wala wazili mkuu akitoa tamko lasm juu ya kutokomeza mauaji hayo? Utasikia tu? Selekari kwa kushilikiana na police! Wanafanya kila njia kuakikisha wanakamatwa? Hayo n maneno tu ambayo ata mtoto mdogo anaweza kusema ? Klasiku nasoma magazeti nasikia rahs mala kaenda germany mara zambia cjui malekan? Kuenda kuombeleza ela za msaada? Anatuaibisha tunakula jasho la wanaume wenzetu ambao wanafanya kaz ucku na mchana? Watanzania atuhtaji jasho la mtu? Njoo tupigane wote uku tukomeshe mauaji ya wenzetu? Hv leo tuseme kwel police inashindwa kumkamata mtu anaefanya unyama huo? Au na mkono wa mzee wa escrow upo? Maana! Nashndwa kuwaelewa unaona hawa wakna chenge wanakbul kwasababu ya mshkaj labda na hawa wanaouwa albino wanakibul kwasababu ya mshikaji? Tumechoka mkilud tena MAGOGON MI NBOLA NIJICHOME MOTO KABSA MAANA WATOTO WANGU WATAKUJA KUNILALAMIKIA? Nibola NFE KABISA KULIKO KUKUBAL KUTAWALIWA KAMA NIMEOLEWA? Wananch tumechoka kabsa yan mngekuwa mnajua tumechoka? Ad tumefika mwsho wa kuchoka!