Mauwaji ya soweto Arusha; DC na RC wakorogana uwepo wa FBI

Mauwaji ya soweto Arusha; DC na RC wakorogana uwepo wa FBI

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,741
kukiwa takribani mwezi mmoja tangu wananchi watangaziwe ujio wa fbi kuja kuchunguza mlipuko wa bomu na kisha kushambuliwa kwa smg na bastola wanamchi waliojitokeza kwenye mkutano wa chama cha demokrasia na maendeleo tarehe 15.6.2013 rc wa Arusha magesa mulongo amekatakata kuwa fbi hawajawahi kuja arusha kuchuguza swala hilo licha ya awali kuvitangazia vyombo vya habari uwepo wa fbi jijini Arusha kuchungiza mlipuko huo alipobanwa na wandishi wa habari mulogo aligoma kuiongelea kauli yake ya zamani..

source: magazetini rfa gazeti mtanzania
 
Hata wao wanajua kuwa wananchi hawaamini tena vyombo vya dola ndo maana walikimbilia kusema kuna fbi lakini ukweli hakuna kitu kama hicho arusha!
 
Sio ajabu kwa polisi kukurupuka. Kwa mwangos walisema alitupiwa kitu chenye ncha... Nashawishika kuamini kila uovu unaosemekana kufanywa na jeshi letu la polisi. Mabadiliko makubwa yanatakiwa kufanywa kurejesha nidhamu na uadilifu wa jeshi kwa raia.
 
Hawawezi kuleta FBI kwani ukweli wa kilichotokeaa wanaujua
 
Hawawezi kuleta FBI kwani ukweli wa kilichotokeaa wanaujua

yaani jeshi limetufanya watanzania matutusa walipotangaza hivyo wakawavalisha polisi wao nguo na kofia zimeandikwa fbi wakawafata wagonjwa kuwa hoji, wagonjwa wakagoma kugojiwa mpaka wanasheria wachadema wawepo kuona hivyo serikali ikajitoa kuwagaramia matibabu kama pinda alivyokuwa ameahidi..
 
Tunatengeneza kitu gani sasa kama tunathubutu kulidanganya taifa


:bored::bored: Uongo njoo.............. utamu kolea
 
Back
Top Bottom