Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umempa hukumu isiyo yake.Hayo mambo yamenitokea sana nilipokuwa nasafiri safari ndefu halafu ninakutana na mwanamke naye anasafiri peke yake.Mnaanza kwa kukaa siti za pamoja na kuzoeana.Mnaanza utani halafu mwisho au katikati ya safari mnaenda kuboresha stori ya "JINSI MLIVYOKUTANA SAFARINI"!Huyoo muhuni[emoji23] tena huenda hata story yenyewe ni ya kubumba.
Kwa yote yaliyotokea...halafu mwanzoni hakusema jinsi ya mtoto kaja kuesema baadae...ili itoe uhalali wa kutokulala nae.
Mshenzi wa tabia [emoji23][emoji23]
Andiko hili,lipelekwe kwenye wa Kula kimasihara.Ulimla afande mkuu?mbona maelezo upande huo hayajitoshelezi
Na ni warembo kwelikweli.Wanawake wa kisukuma sio wachoyo hasa wanyantuzu
Uoga unakua umeuacha sokoni.Ni hivyo tu.
Hahah haha haha kumbe hadi town ni hatari?Mimi nilirogwa na mwenye nyumba wangu kisa tuu nimenunua sukari ya pakti
Maeneo ya mwanza kitangiri na kirumba wachawi kichiz
Ulikula kiboga kwa afandeAisee!! pole sana chief
Hii inaitwa birth portal
By defaultHuyo Afande ulimla Kimasihara
Mwisho wa siku mnaishia kula majini[emoji23][emoji23]Umempa hukumu isiyo yake.Hayo mambo yamenitokea sana nilipokuwa nasafiri safari ndefu halafu ninakutana na mwanamke naye anasafiri peke yake.Mnaanza kwa kukaa siti za pamoja na kuzoeana.Mnaanza utani halafu mwisho au katikati ya safari mnaenda kuboresha stori ya "JINSI MLIVYOKUTANA SAFARINI"!
Wote ni waongo kichizi, mwingine alisema chanjo ni marufuku Tanzania, siku chache mbele akaanza kusema chanjo ni lazimaHii inaitwa birth portal
Safi sana.Maisha yangu yote at 50 now, siwezi kabisa lala na mtu ambaye hatujatengeneza urafiki.
Nitarogwa hadi nikome mieAfande alikuwa anatafuta taarifa fiche kutoka kwako.Anyway,huyo alikuwa mke wangu.Jiandae nakudai ngwekwe. π
Omba pooh!πNitarogwa hadi nikome mie
ndio ilikuwa lengo la uzi πDah nimecheka sana
Yaya nalemaga. Na mimi niko kanunu, nimeaga kwetuOmba pooh!π
Yeeeh...yashilaga pyeee!Ndoho gogolo maamiii!Yaya nalemaga. Na mimi niko kanunu, nimeaga kwetu
Hivi kwanini JF kila kitu tunaona tunadanganywa?Huyoo muhuni[emoji23] tena huenda hata story yenyewe ni ya kubumba.
Kwa yote yaliyotokea...halafu mwanzoni hakusema jinsi ya mtoto kaja kuesema baadae...ili itoe uhalali wa kutokulala nae.
Mshenzi wa tabia [emoji23][emoji23]