wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,203
Kulikuwa na zaidi ya hapo.Sukari ilikuwa kisingizio.
Hahah haha haha kumbe hadi town ni hatari?
Mwanza nomaKitangiri unaijua mpk mihama kule wachawi wengi kama kumbikumbi
AiseeeGambe babu. Halafu mi haukua mpango wangu, ni demu ndiyo aliomba nichukue chumba
Nundaz kuliko DazKiufupi msukuma na uchawi ni pete na kidole
Hebu tueleze , ukweli ni upi?Imekosa tangawizi
[emoji23][emoji23][emoji23]tatizo hajataka kugusia hicho kipengele.huu uzi uamishiwe kwenye kula tunda kimasikhara