Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
Mkuu umejitwalia dhambi kirahisi sana. Unaletewa thawabu, unazikimbia.Alinitumia picha yake nusu alikua mrembo wa kuvutia, siku tunakutana ndio nikajua ni kiwete mazeee....
Alikuja na Taxi kisha akateremka anatambaa, na kwakua nilikua uoande natazama entry door, nikaona ananipigia sim yaani nilikata na nikazima kisha nikatoweka eneo lile man...🤣