N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Apr 22, 2015 #21 Jambazi said: Mbona huko Marekani msanii anatoa albam ndani ya siku 3 anauza copy Mill 1 inamaana kwao hamna mitandao ya kuweza kudownload bure? kuna movie ya Fast & furious 7 imetoka ndan ya siku 2 walipata faida ya Bill 1! Click to expand... mkuu unajua huko marekani hizo album wananunuaje? hata ukidownload unalipia na mauzo yanajumlishwa kama kawa na style nyingine walizotumia kuuza eg cd
Jambazi said: Mbona huko Marekani msanii anatoa albam ndani ya siku 3 anauza copy Mill 1 inamaana kwao hamna mitandao ya kuweza kudownload bure? kuna movie ya Fast & furious 7 imetoka ndan ya siku 2 walipata faida ya Bill 1! Click to expand... mkuu unajua huko marekani hizo album wananunuaje? hata ukidownload unalipia na mauzo yanajumlishwa kama kawa na style nyingine walizotumia kuuza eg cd