Mauzo ya bidhaa za Tanzania katika nchi za SADC yaongezeka maradufu

Huku tumejaza bidhaa za mchina, SADC tunawauzia bidhaa tunzotengeneza sisi! Ni bidhaa gani hizo? Kwanini hatuuziwi na sisi ili tukuze viwanda vyetu?
Ni zile zile za Mchina,Zinatua Karia koo kisha Jongo,Zambia na Malawi
 
taarifa ilio wekwa hapa haionyeshi tumesafirisha au kuuza bidhaa gani
 
Ufipa hawapendi kusikia haya! Salary Slip unaitwa huku?
 
Naomba unitajie bizaa hata kumi tu mnazo uza huko


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…