Mauzo ya bidhaa za Tanzania katika nchi za SADC yaongezeka maradufu

Mauzo ya bidhaa za Tanzania katika nchi za SADC yaongezeka maradufu

Shigganza

Senior Member
Joined
May 24, 2018
Posts
160
Reaction score
412
Mauzo ya bidhaa za kitanzania katika nchi za SADC yameripotiwa kuongeza maradufu katika mwaka 2017/18 ikilinganishwa na hapo nyuma, kwa mujibu wa ripoti ya BOT ya economic operations annually ya mwaka 2017/18 June inaonesha Tanzania imeendelea kuwa muuzaji wa bidhaa zake nje kwa ziada ya. biashara ya doLa milioni 445.5 mwaka 2017 hadi dolla milioni 397.2 mwaka 2016.

Taarifa Kama hizi ni viashiria tosha kwamba ndoto ya mhe Rais ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati anaitekeleza kwa vitendo kilichobaki ni kila mtanzania katika nafasi yake kuhakikisha anatekeleza majukumu yake ipasavyo ili hatimaye kuyafikia malengo na matamanio yetu!
IMG_1312.JPG
 
Mauzo ya bidhaa za kitanzania katika nchi za SADC yameripotiwa kuongeza maradufu katika mwaka 2017/18 ikilinganishwa na hapo nyuma, kwa mujibu wa ripoti ya BOT ya economic operations annually ya mwaka 2017/18 June inaonesha Tanzania imeendelea kuwa muuzaji wa bidhaa zake nje kwa ziada ya. biashara ya doLa milioni 445.5 mwaka 2017 hadi dolla milioni 397.2 mwaka 2016.

Taarifa Kama hizi ni viashiria tosha kwamba ndoto ya mhe Rais ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati anaitekeleza kwa vitendo kilichobaki ni kila mtanzania katika nafasi yake kuhakikisha anatekeleza majukumu yake ipasavyo ili hatimaye kuyafikia malengo na matamanio yetu!View attachment 985557
Huku tumejaza bidhaa za mchina, SADC tunawauzia bidhaa tunzotengeneza sisi! Ni bidhaa gani hizo? Kwanini hatuuziwi na sisi ili tukuze viwanda vyetu?
 
Tusubiri kijana wetu aapishwe pale Congo DR tuendelee kufanya biashara nao kama kawaida. Infact SGR inapaswa kuelekezwa Congo (mwanachama mwenzetu katika SADC).
 
Nchi haina fedha wenye Viwanda wengi wanalia hasara mabenki hoi,hizi taarifa za kupooza mambo magogoni ili angalao wikiendi hii mkuu asikumbatie mafaili atimize haki yake ya kifamilia.
Ungefuatilia kwanza kujua hizo taarifa zimeandikwa na gazeti gani kabla ya kuandika vitu vinaonvyo onesha una chuki binafsi na huyo kiongozi.

Looks like you are pursuing a personal vendetta against H.E. Hon Mangufuli.
 
Ungefuatilia kwanza kujua hizo taarifa zimeandikwa na gazeti gani kabla ya kuandika vitu vinaonvyo onesha una chuki binafsi na huyo kiongozi.

Looks like you are pursuing a personal vendetta against H.E. Hon Mangufuli.
This is for Lissu!
1.jpg
 
Tumepoteza damu za ndugu zetu kwa ajili ya SADC ikibidi kujitoa EAC kwa ajili ya SADC kwa maoni yangu ni sawa kabisa.
 
Tutajiwe bidhaa 5 tu zilizoongezeka maradufu
 
SADC wewe unajua soko la uswahilini hapo Lusaka (COMESA)unajua SADC ina nchi wanachama wangapi?
Hakuna Bidha ya Tanzania inaweza nunuliwa Sadc labda shanga nchi zote za Sadc Zambia,Zimbabwe,Namibia,Botswana,msambazaji mkubwa wa Bidha ni south Africa hata Leo uende Harare huwezi ikuta Bidha ya Tanzania ni made in south Africa tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Bidha ya Tanzania inaweza nunuliwa Sadc labda shanga nchi zote za Sadc Zambia,Zimbabwe,Namibia,Botswana,msambazaji mkubwa wa Bidha ni south Africa hata Leo uende Harare huwezi ikuta Bidha ya Tanzania ni made in south Africa tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwandishi ametoa takwimu za bidhaa zinazouzwa kwenye nchi za SADC wewe unabwabwaja urojo tu. Hakika Ukawwa imetetereka
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Back
Top Bottom