Mauzo ya bidhaa zetu nje yapungua kwa 50%!

mbele kwa mbele
 
alisukumizwa huko kuwa Rais.
 
Nilisema Magufuli ataangusha uchumi. Watu wakabisha.

Hizo asilimia ni kubwa mno na sifahamu kama Watanzania wengi wanaelewa ukubwa wake.
Maisha ya ujanja ujanja na kuibiana goes to an end
 
Wewe ni Msaliti
unatetea wezi
Yy ni msomaji wa makala yenye Taarifa, sasa yule aliandaa hiyo Taarifa anaitwa nani?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tusiwe waoga kupenda kujisomea!
 
Tutegemee pia kushuka kwa shilingi vs dolari. Sasahivi itafikia Tshs 2500/dollar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…