Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipande tena zaidi ya apa?buku tu mb 300,ukiangalia pilau video moja tu mb zimeishayana mwisho haya na data lazima itapanda bei one day
Nimemjibu aliyesema hakuna taasisi binafsi aliyowahi kusikia imetangaza imepata faida hapa bongo..loss katika biashara ni kitu cha kawaida sana, na lazima uexpect two sides of the bussiness
sasa kwan unadhan internet ni charity? its bussiness lazima na wao wanaangalia cost za kuendesha equipments zao nchini nzima, mafuundi wao pia! nchi zingine mfano kenya GB 1 ni ~ 10,000tsh, faida inapatikana na hata kuweka technology zingine mfano 5G ni chap tuIpande tena zaidi ya apa?buku tu mb 300,ukiangalia pilau video moja tu mb zimeisha
Basi tutarudi kwenye kuandikiana barua,"tukutane chini mti wa mwembe tarehe 1 junesasa kwan unadhan internet ni charity? its bussiness lazima na wao wanaangalia cost za kuendesha equipments zao nchini nzima, mafuundi wao pia! nchi zingine mfano kenya GB 1 ni ~ 10,000tsh, faida inapatikana na hata kuweka technology zingine mfano 5G ni chap tu
Kwa wale waliofuatilia interview ya boss wa Voda Hashim Hendi, ali-hint kuhusu bei za data kwamba makampuni ya simu Tanzania yanauza data kwa Sh1 to 1.2 per megabyte, kama aliyoyasema ni kweli basi nchi nzima makampuni hayana net profit kwenye mauzo ya data na hata process ya kuuza minara haitakua suluhisho.
Kuna mawili apa, either biashara za mawasiliano ztafungwa ama serikali ibebe jukumu ya kuongezea kiasi kidogo kufidia
hujachanganua ili kufikia hitimisho lakoKwa wale waliofuatilia interview ya boss wa Voda Hashim Hendi, ali-hint kuhusu bei za data kwamba makampuni ya simu Tanzania yanauza data kwa Sh1 to 1.2 per megabyte, kama aliyoyasema ni kweli basi nchi nzima makampuni hayana net profit kwenye mauzo ya data na hata process ya kuuza minara haitakua suluhisho.
Kuna mawili apa, either biashara za mawasiliano ztafungwa ama serikali ibebe jukumu ya kuongezea kiasi kidogo kufidia
Youtube ni bidhaa ndani ya kampuni na sio kampuni.hasara ni kitu cha kawaida sana, mbna makampuni mengi tu nchi za nje nazo hazipati faida, mfano youtube haijawahi kua na net profit na haijawahi kutoa gawio toka imeanzishwa, hata simba ni loss making hakuna cha kushangaza apo
Huwezi kuwa ccm ukawa OK !! Upstairs!!! Mark my wordsPole sana huna akili ulichokikosea kwenye uzi wangu ni nini?
Vijana wa CCM hamnaga akili
hujachanganua ili kufikia hitimisho lako
kwani wakiuza sh 1 kwa MB wao wanachajiwa kiasi gani kwa wastani
inaweza kuwa kwa gharama zote wao wanatoa senti 30 kwa MB na hivyo kubakiwa na centi 70 kama faida
nawaza tu