Mauzo ya korosho yaporomoka kwa 63 % - Dr Mpango

nadhani ule uliosomwa mchana ulikuwa ni mpango wa maendeleo wa taifa kwa mwaka 2019/2020

bajeti bado hajasoma
 
ungeyasema haya kabla ya kauli hii ungeambiwa wewe mchochezi na lazima ungelala ndani na kesi ya uchochezi juu- hii ndiyo Tanzania yetu mpya
Afadhali alale ndani kuliko BAVICHA wanokatana mapanga kule Moro!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…