Mauzo yanavutia lakini kwa faida ya laki 8 na matumizi laki 7 na elfu themanini nimehitimisha najitekenya, nimekubali kipigo till next time

Mauzo yanavutia lakini kwa faida ya laki 8 na matumizi laki 7 na elfu themanini nimehitimisha najitekenya, nimekubali kipigo till next time

A. Wastani wa faida kwa mwezi kwenye mauzo - 800,000

B. matumizi -

  • TRA (kwa mwaka) 300,000
  • leseni (kwa mwaka) 120,000
  • frem (laki 5 kwa mwezi) 6,000,000
  • Taka (elf 5 kila mwezi) 60,000
  • Mshahara wa binti (150,000 kila mwezi) 1,800,000
  • chakula na nauli (elf 3 kila siku kasoro j2) 954,000
  • vingine ( umeme, misiba, sabuni, n.k.) 200,000
  • gharama za kununua mzigo na usafiri zimeongezwa kwenye bei ya kujumua

  • Jumla 9,434,000 kwa mwake / 786,000 kwa mwezi

FAIDA YA MWEZI BAADA YA KUTOA MATUMIZI
A - B, 800,000 - 786,000 = 14.000
ELFU KUMI NA NNE


Maamuzi niliyoyachukua ni kufunga duka hasa ukizingatia nao mzigo umeisha, kwa sasa niendelee kutegemea kamshahara ka kodi za wananchi nijidundulize nirudi upya kivingine, maana kinachoendelea ni kujitenkenya.

pia soma:Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu
Hiyo misiba imeingiaje kwenye biashara?
 
Mi nadhani lengo la Uzi ni kudiscourage biashara na kutetea ajira kuwa ni Bora kuliko biashara,si Kila mtu lazima afanye biashara wengine nyota yenu ni kuajiriwa
Ndio nyuzi zinazo trend JF. Failures wanajitahidi kukatisha wengine tamaa.
 
A. Wastani wa faida kwa mwezi kwenye mauzo - 800,000

B. matumizi -

  • TRA (kwa mwaka) 300,000
  • leseni (kwa mwaka) 120,000
  • frem (laki 5 kwa mwezi) 6,000,000
  • Taka (elf 5 kila mwezi) 60,000
  • Mshahara wa binti (150,000 kila mwezi) 1,800,000
  • chakula na nauli (elf 3 kila siku kasoro j2) 954,000
  • vingine ( umeme, misiba, sabuni, n.k.) 200,000
  • gharama za kununua mzigo na usafiri zimeongezwa kwenye bei ya kujumua

  • Jumla 9,434,000 kwa mwake / 786,000 kwa mwezi

FAIDA YA MWEZI BAADA YA KUTOA MATUMIZI
A - B, 800,000 - 786,000 = 14.000
ELFU KUMI NA NNE


Maamuzi niliyoyachukua ni kufunga duka hasa ukizingatia nao mzigo umeisha, kwa sasa niendelee kutegemea kamshahara ka kodi za wananchi nijidundulize nirudi upya kivingine, maana kinachoendelea ni kujitenkenya.

pia soma:Daftari la mauzo linapendeza lakini ukweli ni kwamba hakuna faida. Mzigo niliojumua 3.8M na kuuza 8.2M umenipa faida ya laki 1 tu
Usingefunga biashara,
 
Ninayo app nzuri ya kupiga mahesabu ya duka.Inafaa kutumia wakati wa kufanya stock.
1.Unaweza kujua duka lako limekuingizia sh. kwa mwezi au kwa mwaka.
2. Inaonyesha thamani stock iliyopo dukani
3. Inaonyesha Kila bidhaa unayouza Ina faida ya sh. ngapi
4. Kama Kuna upotevu wa fedha inaonyesha.

INAFAA KUTUMIA KWENYE SMART PHONE AU COMPUTER

Ili kuitumia unatakiwa kuwa na rekodi sahihi za Kila manunuzi na mauzo ya Kila siku. Nicheki Whatsapp 0753546162
 
Back
Top Bottom