Mavazi na mitindo ya wanawake


mimi nakubaliana na wewe kwa upande moja kua sio wote wanaotega watu.ila pia kumbuka huwezu kumjua anayevaa kama fashion na anayetega waume.ila nilichokua nimekilenga ni asili ya vimini hivyo kua tumeletewa hayo na wazungu sio asili yetu kama wa africa.na hao wazungu wana malengo yao juu yetu na lengo lao nikutupoteza na asili zetu za kuvaa kiheshima kwa kujiatiri miiliyetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…