Mavazi ya kubana kwa akina dada: Chanzo na faida zake ni zipi?


Lakini si inaaminika Mungu yupo kila sehemu?
 
Wale wanaume sasa ambao kuona tu paja mawazo vs matamanio kuzidi na kusahau alipo watakuwa wanatokaga bila bila ibadani.

Sema kizuri awazacho mtu akilini mwake ni ngumu kutambua unakuta mtu upo nae ila akili yake iko mbali
 
wameshindwa kuweka tofauti kati ya vitu vyombo vya Mungu na vile vya kawaida.
 
Woow, ndo wew huyu au mambo ya Photoshop? ??, kaa ndo wew jpili twende kwa gwajima atupe baraka zake.......[/QUOTE]
Siyo mimi
Nimegoogle
 
Woow, ndo wew huyu au mambo ya Photoshop? ??, kaa ndo wew jpili twende kwa gwajima atupe baraka zake.......
Siyo mimi
Nimegoogle[/QUOTE]
Aaaaaahhhhh................mambo gan sasa ya kualibiana usingizi??
 
Lingekuwa vazi linabana basi lisingepita..mpaka mtu anavaa na kupita hilo ni size yake. La kubana huwa hata halipiti
 
Lingekuwa vazi linabana basi lisingepita..mpaka mtu anavaa na kupita hilo ni size yake. La kubana huwa hata halipiti
hapana isiyovalika haiwezi kubana, inabanaje haijavalika?
 
Well said
 
Jumapili iliyopita ya tarehe 16/04. Mwisho wa Misa, Padre wetu aliongea kwa uchungu sana juu ya mavazi ya waumini pale kanisani. Na alitusema sote. Wanaume na wanawake. Kusema kweli, waislamu kwa suala ya kuheshimu nyumba zao ibada. Wanatushinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…