Mavazi ya kubana kwa akina dada: Chanzo na faida zake ni zipi?

Mavazi ya kubana kwa akina dada: Chanzo na faida zake ni zipi?

Jumapili iliyopita ya tarehe 16/04. Mwisho wa Misa, Padre wetu aliongea kwa uchungu sana juu ya mavazi ya waumini pale kanisani. Na alitusema sote. Wanaume na wanawake. Kusema kweli, waislamu kwa suala ya kuheshimu nyumba zao ibada. Wanatushinda.
Sasa padre akishindwaje kukemea aina fulani za mavazi?
Mbona wanaweza kuweka aina ya sadaka kwamba hawataki coins?
 
Sasa padre akishindwaje kukemea aina fulani za mavazi?
Mbona wanaweza kuweka aina ya sadaka kwamba hawataki coins?
Mkuu Molaro, aliongea na kukemea sana mavazi yasiyo mazuri. Na akasema tuliheshimu kanisa na madhabau yake. Suala la waislam, nimeliongeza Mimi.
 
Mkuu Molaro, aliongea na kukemea sana mavazi yasiyo mazuri. Na akasema tuliheshimu kanisa na madhabau yake. Suala la waislam, nimeliongeza Mimi.
Hapo sawa kafanya vizuri. Wengine waige na sio kutuambia eti mavazi hayampeleki mtu mbinguni. Wanasahau hata pipi huuzwa ndani ya ganda.
 
Kama ni KUVAA KWA LENGO LA KUTAMANISHA mbona hata wake za watu nao huvaa hivyo?wanamtamanisha nani?
 
Back
Top Bottom