Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 373
Sasa hapo litakuzonga nin...au mnarukaga sarakasi club mana mim sijawahi kwenda club...
Halafu makalio yenyewe meusiiii, wageuze kwa nyuma uone
Hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. jamani wadada tujiheshimu basi kwa kuwa sisi ni wa THAMANI SANA pls! kha!
Hawa ni mawakala wa shetani kabisa, hebu tuwaombee dada zetu jamani vinginevyo wataanza kutembea kama walivyozaliwa (uchi wa mnyama kabisa)
hahaahaa... sister bwana...eti tunaruka sarakasi! Utamu wa club full kimini...
ha ha ha ha ha ,mkuu hao mbona mavifua makubwa sana halafu hao kitandani bure kabisa hakuna anayejikunja hapo.hivi kweli? usivunje amri ya sita na zilizobaki??Lakini aisee Mwenyezi kaumba tena wengine kawapendelea ..........utadhani wenyewe ndo waliulizwa nikuumbe vipi?cheki namba 2 hapo
View attachment 123578
ha ha ha ha ha ,mkuu hao mbona mavifua makubwa sana halafu hao kitandani bure kabisa hakuna anayejikunja hapo.
hivi club ukienda na gauni angalau la urefu kama
au ndefu zaidi, au suruali au pedo hizo bata haziliki?
ni lazima kwenda uchi ndo utajiona upo club?
hahaha Fixed Point kwa uzoefu wangu watakushangaa..hili la ofisini kabisa!
CC nyumba kubwa King'asti Heaven on Earth Husninyo