Mavazi ya siku hizi jamani..!! Ni shidaaaa...!!

Mavazi ya siku hizi jamani..!! Ni shidaaaa...!!


Hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. jamani wadada tujiheshimu basi kwa kuwa sisi ni wa THAMANI SANA pls! kha!

safi sana!!!

kwa upande wangu mi nimevutiwa sana na haya mavazi!!

huduma zake ziko faster sana!!.. just the matter of pulling up!
 
its just okay.....They just keep us rolling...........they are disposables though!
 
halafu mara nyingi hata mwanaume awe player kiasi gani nae huwa hao hawa wadizaini hiii,wachache ndio hujichanganya kwa hii midude na huwa majuto!
 
inabidi zile amri ziongezwe maana hizo sita tumeshazikinai..............😡
 
Kuna pepo ametuingia wadada kwani cku hizi c machana wala usiku watu wanajivalia vile wanaona vinafaa
tena usiku ndo wanatembea uchi kabisa, nahic hawana soko kw ahiyo wanafanya kila wawezalo wafanikishe mambo yao
 
hivi kweli? usivunje amri ya sita na zilizobaki??Lakini aisee Mwenyezi kaumba tena wengine kawapendelea ..........utadhani wenyewe ndo waliulizwa nikuumbe vipi?cheki namba 2 hapo

View attachment 123578
ha ha ha ha ha ,mkuu hao mbona mavifua makubwa sana halafu hao kitandani bure kabisa hakuna anayejikunja hapo.
 
ha ha ha ha ha ,mkuu hao mbona mavifua makubwa sana halafu hao kitandani bure kabisa hakuna anayejikunja hapo.

namna hii?kweli kawaida?
1465117_615006771890487_1588463578_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom